Zilipendwa - Pata Pata
Huu wimbo wa Pata Pata ilikuwa kiboko enzi zile. Uliimbwa na MSwazi, Miriam Makeba aka Mama Africa.
View ArticleZanzibar ilitoa Msaada Kwa Uiingereza!!!!
Jamani tumezoea kuwa wapokea misaada. Lakini je, mlikuwa na habari kuwa wakati wa Vita Kuu ya pili vya dunia (World War 2) Zanzibar ilitoa msaada wa chakula Kwa waingereza wenye nja? Wakati Ile...
View ArticleUnyanyasaji wa Kijinsia: Mchango wa UMIss Tanzania Unaonekana?
Na Elias MuhongoTukiwa tunaangalia tangazo la biashara la ‘BIG BOSS’ nikashtukia mwanangu mmoja akilalamika: “Hapo si tunajinyanyasa kweli?”. Nikamuuliza ana maana gani? Akasema “ Baba angalia sana...
View ArticleBarua ya Kitapeli - Mtaibiwa Sana!
Nafahamu watu ambao wanadhani huo upupu ni kweli. Eti utapata mamilioni ya madola ukitoa habari ya akaunti yako benki, au ukilipa dola $2000 ili upate mamilioni! Uchu wa pesa mbaya! Mtaibiwa...
View ArticleTaarab Zilipendwa- Nahodha Kukaa Nyuma
Huu wimbo ulifana sana enzi zile!!! Ni Taarab ya kweli. The Real Deal!
View ArticleHeri ya Mwaka Mpya 2017!
Wadau, Mungu yu Mwema, tumefika 2017!Nawatakia wadau wote Heri ya Mwaka Mpya!
View ArticleBodi ya Filamu Nchini Yawaomba WaTanzania Kuzipigania Kura Filamu za...
BMGHabariBodi ya Filamu nchini imewahamasisha watanzania kuongera ari ya kuzipigia kura filamu za kitanzania zinazowania tuzo za Africa Magic Viewers Awards (AMVA 2017) za nchini Nigeria.Katibu...
View ArticleMchungaji Kulola wa EAGT Lumala Jijini Mwanza
Usikose kufuatilia maombezi na ibada ya neno la Mungu kutoka kwa Mchungaji Dkt.Daniel Moses Kulola wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo Sabasaba Jijini Mwanza, mubashara (live) kupitia ukurasa wake...
View ArticleSerikali Kuendeleza Mapambano ya Madawa ya Kulevya Nchini
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (katikati), akihutubia katika Maadhimisho ya Siku ya Familia ya Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni Dar es Salaam leo. Kutoka kushoto ni Katibu...
View ArticleMwanamke wa KiTanzania Apigwa Kwenye Treni na Mzungu Boston
Wadau, tumekuwa tukisema kuwa Rais Trump amefufua na kuhalilisha Ubaguzi MarekaniKuna matukio mengi dhidi ya weusi na waspanish ambazo zimetokea.Leo asubuhi, jumatatu 23/1/17, MTanzania, Stella Rupia,...
View Article