Maandazi ya Chakula Kutoka Mazingara Machafu!
Mnaopenda Kula restaurants, na chakula cha caterers..halahala! Hizo kuku ziliingia kwenye michuzi, supu, roast, nk. Halafu unashangaa Kwa nini tumbo inauma na unaharisha kesho yake.
View ArticleTanzania Kutumia Dola Mil 500 Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia Nchini
TANZANIA KUTUMIA DOLA MIL500 KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais,Muungano na Mazingira,January Makamba akifungua warsha ya wadau wa kuhusu ripoti ya taarufa...
View ArticleMwenyekiti Mpya wa CCM Dr. John Pombe Magufuli Apokelewa kwa Nderemo na Vifijo
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipungia wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere, Jijini Dar es salaam kabla...
View ArticlePaka Kichaa au Mjanja?
Huyo paka ni mjanja au kichaa? Anakubali kunyonyesha panya ambao ni chakula kikuu cha paka. Au anawanyonyesha ili wanone apate mlo safi?
View ArticleBenki ya Dunia Kuendelea Kusaidia Sekta ya Maji Nchini
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Gerson Lwenge akifungua kikao cha pamoja na ujumbe wa Benki ya dunia, Wizara ya Maji ,Shirika la Majisafi na Majitaka jijini Dar es Salaam (Dawasco ) na Mamlaka...
View ArticleMashindano ya Miss Mwanza 2016
Usiku wa jana Ijumaa Agost 19,2016 kuamkia leo Jumamosi Agost 20,2016, kulikuwa na mtifuano mkali wa kumtafuta mlimbwende wa taji la MISS MWANZA 2016 ambapo warembo 16 kutoka wilaya mbalimbali mkoani...
View ArticleMama Bishanga Ndani ya White Party ya Birthday ya Rukia Hussein
Kwa Hisani ya Christina Marolen aka Mama Bishanga MAMA BISHANGA NDANI YA WHITE PARTY YA BIRTHDAY YA RUKIA HUSSEINRukia mtoto wa marehemu Sheihk Yahya Hussein aliangusha bonge ya white party...
View ArticleKanisa la EAGT Lumala Mpya jijini Mwanza Kufanya Harambee ya Kanisa Jipya la...
Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo Sabasaba Ilemela Jijini Mwanza, chini ya Mchungaji kiongozi, Dkt.Daniel Moses Kulola, linapenda kuwakaribisha watu wote kwenye Harambee ya Ujenzi wa Kanisa jipya na...
View ArticleNi Heshima Ukichinjiwa Mbuzi wa Supu Mkoani Mara
Kuna Sherehe za aina mbalimbali mkoani Mara. Leo BMG inakujuza juu ya Shereze ya kuchinjiwa supu ya mbuzi. Hii hufanywa zaidi kwa wanajamii wa kabila la Wakurya mkoani humo.Sherehe hizi hazina msimu...
View ArticleMama Bishanga na Wadogo Zake Wafiwa na Mama Yao
MAMA BISHANGA NA WADOGO ZAKE WAFIWA NA MAMA YAO MWALIMU AGNES NDEMBO HATIAWatoto wa marehemu mzee Isaya Innocent Hatia tumempoteza mpendwa mama yetu mpendwa Mwalimu Agnes Ndembo Hatia...
View ArticleMkuu wa Mkoa Mwanza Akabidhi Vyakyula Kwa Niaba ya Rais Magufuli Kwenye Kituo...
To kmwantepele Dotto Mwaibale Mzee Ahmad Michuzi Cathbert Kajuna and 232 more... Message body Katika kusherehekea Sikukuu ya Idd El Hajj siku ya Jumatatu Septemba 12, 2016, Rais wa Jamuhuri ya...
View ArticleUNESCO Yazindua Ripoti ya Ufuatliaji wa Elimu Duniani (GEM) 2016
Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Bi. Zulmira Rodriguez akimkabidhi mgeni rasmi, Kaimu Kamishna wa Elimu kutoka Wizara ya...
View ArticleTetemeko la Ardhi Bukoba - Earthquake in Bukoba, Musoma and Mwanza Tanzania
Nimepata ujumbe kupitia Facebook muda huo kuwa kumetokea tetemeka la Ardhi kubwa (Earthquake) Bukoba!!!! Nitawajulisha nikipata habari zaidi!***********************************Tetemeko la Ardhi...
View ArticleMsiba Boston - Mrs. Aisha.Rupia
Aisha Rupia, mume wake Paul Rupia na watoto wao.Tunasikitika kuwajulisha kuwa Paul Rupia amefiwa na mke wake Aisha Rupia ambaye ametutoka leo alfajiri...
View ArticleUsabato na Historia ya Aibu
HISTORIA HALISI YA WASABATO: AIBU TUPUImeandikwa na Padri Titus AmiguNdugu zanguni nitaendelea na mada yetu ya “viboko hamsa wa ishirini” lakini naomba nikatishe kidogo nipate kujibu swali moja...
View ArticleMatokeo ya Tanzania Kukataa EPA
byEzekiel KamwagainMakalaKAMA mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi baina ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na zile za Umoja wa Ulaya (EU) utaendelea kubaki kama ulivyo sasa, ni wazi...
View ArticleMwenge wa Uhuru Wawasili Mkoani Singida na Ishara ya Uhuru wa Tanganyika
MWENGE wa Uhuru baada ya kuwasili mkoani Singida Mwenge huu ni ni kitu mfano wa kikombe chenye mpini mrefu na utambi ambacho aghalabu huwasha na kukimbizwa katika kusheherekea au kutukuza tukio...
View ArticleMadereva wa Malori Watekwa Nyara huko Congo!
DAR ES SALAAM, Tanzania (AP) - Tanzania's government and a transport group say an armed group operating in eastern Congo has seized six Tanzanian and four Kenyan truck drivers and is seeking ransom....
View ArticleSala ya Kumuaga Marehemu Aisha Rupia Boston Leo
Sala ya kumuaga marehemu Aisha Rupia (39) itakuwa leo jumamosi 9/17/16 saa kumi jioni (4:00pm) huko Hurley Funeral Home, 134 Main St., Randolph, MA 02368.Baada ya Sala, watu watajumika kwenye Ukumbi...
View Article