Quantcast
Channel: Swahili Time
Viewing all articles
Browse latest Browse all 571

Jaji Warioba Anusurika Kupigwa Kwenye Mkutano!

$
0
0
Nchini Tanzania vurugu zimekatisha mdahalo ulioitishwa kujadili yatokanayo na rasimu ya katiba iliyopendekezwa. Waziri Mkuu mstaafu na aliyekuwa mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Warioba, alikuwa jukwaani wakati vurugu zilipozuka. Wanaounga mkono rasimu wamedaiwa kusababisha vurugu ukumbini.Wapo watu waliojeruhiwa. Nini maoni yako na umelipokea vipi tukio hilo? Habari zaidi katika Amka na BBC.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 571

Trending Articles