Nchini Tanzania vurugu zimekatisha mdahalo ulioitishwa kujadili yatokanayo na rasimu ya katiba iliyopendekezwa. Waziri Mkuu mstaafu na aliyekuwa mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Warioba, alikuwa jukwaani wakati vurugu zilipozuka. Wanaounga mkono rasimu wamedaiwa kusababisha vurugu ukumbini.Wapo watu waliojeruhiwa. Nini maoni yako na umelipokea vipi tukio hilo? Habari zaidi katika Amka na BBC.
↧