Quantcast
Channel: Swahili Time
Viewing all articles
Browse latest Browse all 571

Captain John Komba Afariki Dunia

$
0
0
 Wadau, Mh. Captain John Komba, Mbunge wa Mbinga amefariki leo katika hospitali ya TMJ. Wanasema alikuwa anasumbuliwa na kisukari (diabetes).

Lazima niseme kuwa nakumbuka marehemu Captain Komba alivyoaanza kupanda chati. Alikuwa Sargent wa Jeshi na alikuwa anaimba katika kikundi cha wasanii. Alimwimbia Mwalimu ule wimbo wa 'We Love Freedom'.  Nimesahau ilikuwa sherehe ya nini. Mwalimu na wote tuliyokwepo tuliblow!  Alipata U-Captain haraka sana na mambo ya TOT ni ya kihistoria.

REST IN PEACE CAPTAIN KOMBA!

Kutoka Twitter:

Rest in peace, Tanzanian singer/politician Captain John Komba. I remember his rise to fame. 
Chama Cha Mapinduzi @ccm_tanzania 7m7 minutes ago
TANZIA:Mbunge wa Mbinga na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Kapteni John Damian Komba amefariki dunia ktk Hospitali ya TMJ, Dar.
0 replies10 retweets0 favorites Reply
Retweeted10



Kutoka EATV
 
East Africa TV
@ eastafricatv
1m
#TANZIA Mbunge wa Mbinga Magharibi
Kapt. John Komba amefariki dunia leo
saa 10 jioni katika hospitali ya TMJ
DSM kwa tatizo la Kisukari



Viewing all articles
Browse latest Browse all 571

Trending Articles