Waziri Mkuu Majaliwa Aamuru Maafisa Kadhaa wa TRA Kukamatwa
Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa leo ameamuru kukamatwa kwa maafisa kadhaa wa Mamlaka ya Mapato (TRA) na wengine kufukuzwa kazi baada ya kufanya ziara ya kushtukiza Bandarini na kukuta madudu...
View ArticleKumbe Kabaka Mwanga II wa Buganda alikuwa Shoga!
Papa Francis yuko nchini Uganda kwenye ziara rasmi. Alitoa heshima kwa wakristo 45 wailouawa huko Uganda zaidi ya miaka 100 iliyopita. Katika historia, wanasema kuwa waAnglikana 23 waliuawa na...
View ArticleWanyonya Ume wa Mchungaji Wao Ili Wapone Maradhi Yao!
Pastor Sobrino Valdeci Picanto wa Brazil Mchungaji huko Brazil Rev. Sobrino Valdeci Picanto, wa kanisa la pentecostal (walokole) aliwadanganya waumini wa kike kuwa wakinyonya ume wake (mboo) watafaidi...
View ArticleBalozi Wilson Masilingi Aanza Ziara ya Kutembelea Vyama Vya Siasa DMV
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson Masilingi leo Jumamosi Desemba 5, 2015 alihudhuria mkutano wa Halmashauri ya CCM tawi la DMV ikiwa ni moja ya ziara zake...
View ArticleKesi ya Rufaa ya Talaka ya Thadei Mtembei Imeahirishwa
Na Mwandishi wetuKESI ya rufaa ya madai ya talaka dhidi ya mfanyabiashara na Mkurugenzi wa shule ya sekondari ya St Mathew, Thadei Mtembei imeahirishwa baada ya wakili wa Mtembei, Mussa Kyoboya kudai...
View ArticleUvaaji wa Chupi - Afya ya Uzazi
Na Mdau Joyce MasikaLeo naomba nikukumbushe somo la Afya ya uzazi. Somo hili litafafanua faida na hasara au madhara yatokanayo na uvaaji wa nguo za ndani hasa Chupi.Uvaaji wa chupi kihistoria ulianza...
View ArticleNunua Tiketi ya Ndege Kwa Njia ya Installments Kupitia Tuzola
Tuzola ni kampuni ya waTanzania wanaoishi Marekani. Kama huna hela kamili ya kununua tiketi ya ndege unaweza kununua kwa kulipa kiasi awali, na baadaye ulipe hela iliyobaki (installments). Kama...
View ArticleTerm Limits Lifted for Rwanda
By IGNATIUS SSUUNAAssociated Press KIGALI, Rwanda (AP) - The head of Rwanda's electoral commission said late Friday partial results show Rwandans have voted to lift term limits in order to allow...
View ArticleWalioghushi Vvyeti ili Kupata Kazi Serikalini, Kiama Chao Hiki Hapa!
Na Henry MdimuPICHANI JUU: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) (kushoto), akitoa maelekezo kwa Watumishi wa Idara ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu-UTUMISHI....
View ArticleTwo Congolese Warlords Jaile
Germain KatangaThomas LubangaICC Sends 2 Convicted Warlords to Congo Prison THE HAGUE, Netherlands (AP) - The International Criminal Court has sent two militia leaders convicted of committing war...
View ArticleMzee Njemba Atoweka Nyumbani kwake Magomeni, Ndugu Zake Wanamtafuta
Ndugu na jamaa wanatarifiwa kwamba Bw. Hemed Mzee Ibrahim "Njemba" (pichani) ametoweka nyumbani kwake Magomeni Makuti mtaa wa Mchinga namba 22 jijini Dar es salam toka siku ya Alhamisi tarehe...
View ArticleMkesha wa Mwaka Mpya DMV
Mama wa mitindo Asya Idarous Khamsini akihesabu sekunde zilizoslia kuelekea mwaka mpya kwenye sherehe ya mkesha wa mwaka mpya 2016 iliyofanyika Lanham, Maryland siku ya Alhamisi Desemba 31, 2015...
View Article