Quantcast
Channel: Swahili Time
Viewing all articles
Browse latest Browse all 571

Serikali Yazipiga Marufuku Shule Binafsi Kukaririsha au Kufukuza Wanafunzi Walioshindwa Kufaulu

$
0
0
Serikali imezuia shule binafsi kumrudisha darasa, kufukuza mwanafunzi aliyefaulu mtihani darasa la 4, kidato cha 2 kwa kutofikia ufaulu wa shule husika.

Waraka wa Elimu Namba 7 wa Mwaka 2004 umepiga marufuku utaratibu wa shule zisizo za serikali kukaririsha Darasa, kufukuza au kuhamisha mwanafunzi aliyefaulu Mtihani wa Darasa la Nne, Kidato cha pili kwa kigezo cha wanafunzi hao kutofikia wastani wa ufaulu wa shule husika.





Viewing all articles
Browse latest Browse all 571

Trending Articles