Quantcast
Channel: Swahili Time
Viewing all articles
Browse latest Browse all 571

Muhammad Ali Alipotembelea Tanzania 1980

$
0
0
Wadau, Nina kumbuka vizuri marehemu Bondia Muhammad Ali, alipokuja Tanzania kutembea mwaka 1980. Watu walikuwa na  kiwewe kumwona shujaa wao Vijana walivamia fensi na  kukimbiza ndege yake pale airport  Dar!   Watu walisema bora Ali angemtwanga Mzee Nchimbi (picha ya pili). Sijui kwa nini walikuwa wanamchukia.

Muhammad Ali amefariki dunia leo katika hospitali huko Arizona.  Alikuwa na miaka 74.  Alkuwa na ugonjwa wa pneumonia.  Lakini pia alipambana na ugonjwa wa Parkinson's disease (mwili ktetetmeka) muda mrefu.  

Rest in peace Muhammad Ali (1942-2016). 

Kusoma historia ya Muhammad Ali BOFYA HAPA:




Viewing all articles
Browse latest Browse all 571

Trending Articles