Quantcast
Channel: Swahili Time
Viewing all articles
Browse latest Browse all 571

Waziri wa Serikali ya Zanzibar Afumaniwa Gesti Akiwa na Binti yake wa Kambo!

$
0
0
Aliyekuwa Mkuu wa Kkoa wa Kaskazini Pemba na Katibu Ikulu Ndogo ya Pemba Mh.Faki Dadi Faki.amekutwa guest akiwa na mtoto wa mke wake wa ndoa!

Iinasemekana ni mtu na mpenzi wake. Ila baada ya mtoto kutiliwa mashaka akajaribu kuficha ficha leo ametegwa na kunaswa kwenye mtego ulioshuhudiwa na mama yake mzazi (mtoto akikutwa kitandani na baba wa kambo) hayo yalifanyika katika hotel ya Excutive iliopo pembeni ya makao makuu ya uhamiaji.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 571

Trending Articles